MKURUGENZI wa Halmashauri wa Temeke jijini Dar es Salaam, Nassib Mmbagga ametoa pole kwa wafanyabiashara wa soko la Mbagala Rangi tatu ambao wamepoteza mali zao baada ya kuungua kwa soko hilo.
Soko hilo ambalo lilikuwa na wafanya biashara zaidi ya 500 lilianza kuteketea usiku wa kumkia leo.
Akizungumza leo,Mkurugenzi amesema Halmashauri imepanga kukutana na wafanyabiashara waliokuwa wakifanya biashara katika soko hilo.
Amesema lengo ni kuangalia ni jinsi gani halmashauri itawasaidia
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...