Rais Mstaafu wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo Jumatano Agosti 8, 2018 amemtembelea Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla aliyelazwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar es Salaam kumjulia hali na kumpa pole kufuatia ajali ya gari aliyoipata Agosti 4, 2018 mkoani Manyara.
Home
Unlabelled
JK amjulia hali Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Dkt. Hamisi Kigwangalla
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...