Mchezaji taekwondo wa Polisi Tanzania mkaguzi wa Polisi (INSP) Danny ameshika
nafasi ya kwanza kwa mchezo wa uzito wa juu katika michezo ya karate ya TaeKwondo kwenye michezo ya EAPCCO inayoendelea viwanja vya chuo kikuu cha Dar es Salaam
Naibu kamishna wa Polisi (DCP) Ahmada Khamisi akikabidhi kobe kwa mshindi wa mchezo wa Taekwondo kutoka Polisi Kenya katika michezo ya EAPCCO GAMES yanayoendelea viwanja vya chuo kikuu cha Dar es SALAAM.
Wachezaji wa mchezo wa Taekwondo kutoka Polisi Rwanda wakishagilia ushindi wa kwanza wa ujumla baada ya kupata vikombe viwili katika mchezo huo. Picha zote na Jeshi la Polisi
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...