Baadhi wa Mawakala wa ukatishaji tiketi za ndege nchini (Travel Agencies) wakiwa katika picha ya pamoja nje ya Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Kigali (Kigali Convention Center), walitembelea nchini Rwanda hivi karibuni kwa mwaliko wa Shirika la Ndege la RwandAir. Mawakala hao walipata fursa ya kumbelea maeneo mbalimbali ya Kumbukumbu yaliyopo mjini Kigali, nchini Rwanda.
Wakiwa katika picha ya pamoja nje ya Jengo la Kumbukumbu ya Kampeni ya kuzuia Mauaji ya Kimbari nchini Rwanda ambapo zamani lilikuwa Jengo la Bunge. Kushoto ni Mtangazaji wa kipindi cha Power BreakFast cha Radio Clouds FM, Barbara Hassan aliyeambatana na Mawahaka hao.
Wakiwa katika moja ya sehemu ya Makaburi ya halaiki yaliyopo kwenye eneo la Kumbukumbu ya Mauaji ya Kimbari (Kigali Genocide Memorial).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...