Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (kulia), akimsikiliza Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. Sarah Cooke, wakati alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam, na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo kuendeleza ushirikiano. Picha na Jeshi la Polisi.
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro (kulia), akizungumza na Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Mhe. Sarah Cooke, alipomtembelea ofisini kwake Makao Makuu ya Jeshi hilo jijini Dar es salaam, na kuzungumza masuala mbalimbali ikiwemo kuendeleza ushirikiano. Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...