Mhandisi akiwaonyesha wajumbe madarasa yaliyofanyiwa ukarabati katika Shule ya Wasichana Kondoa.
Mhandisi Mshauri wa mradi wa ukarabati wa Shule ya Wasichana Kondoa Marco Daniel akisoma taarifa ya mradi wakati wa makabidhiano ya mradi huo.
Mwakilishi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Elimu Tanzania Tija Ukondwa (wa kwanza Kushoto) akikabidhi taarifa ya makabidhiano ya mradi wa ukarabati kwa Mkuu wa Shule ya Wasichana Kondoa Frola Nussu.
Moja ya choo kilichojengwa kwa ajili ya watu wenye mahitaji maalum
katika Shule ya Wasichana Kondoa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...