Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini IGP Simon Sirro, akizungumza na wakazi wa Kata ya Mburahati, Kigogo jijini Dar es salaam leo, wakati alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye Kata hiyo kwa lengo la kujua changamoto wanazokutananazo pamoja na namna wanavyoshirikiana na Jeshi hilo katika kuzuia uhalifu na wahalifu katika maeneo yao wanayoishi.
Picha na Jeshi la Polisi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...