Wajasiliamali maarufu kama machinga wakiandaa biashara zao leo kama wanavyo onekana pichani katika kituo cha Mabasi Tabata Segerea Wilaya ya Ilala Jijini Da es Salaam.
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
(Picha na Emmanuel Massaka wa Michuzi Tv)
Wafanya biashara wa viazi katika kituo cha Tabata Segerea wilaya ya Ilala jijini Dar es Salaam wakiwahudumia wateja wanaotoka sehemu mbalimbali,ambapo fungu moja la viazi limauzwa shilingi 1000 mpaka 2000 na Nazi moja kuanzia mia tano mpaka 1500.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...