Mkuu wa gereza la Musoma, Mrakibu Mwandamizi wa Magereza Aliko Mwakalobo (wa pili kulia) akishuhudia mshindi wa Bahati nasibu ya Tusua Mapene Sajenti Celestina Kilemezi (katikati) akipongezwa na Meneja mauzo wa Vodacom Tanzania PLC – Musoma, Jovinth Ikate, baada ya afande Kilemezi kuibuka mshindi wa shilingi 128 milioni. Ili kushiriki kwenye promosheni hii, mteja anatakiwa kutuma neno “CHECK” au “VODA” kwenda namba 15544, kwa gharama ya shilingi 300 tu
Afisa
Huduma wa bahati nasibu ya Tusua Mapene na Vodacom Tanzania, Paulina
Biseko (kulia), Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Alex Bitekeye
(wa pili kulia) wakiwa kwenye picha ya pamoja na mabalozi wa shindano la
Tusua Mapene na Vodacom Tanzania, Judith Laizer (kushoto) na Golden
Mangula mara baada ya kumtangaza mshindi wa bahati nasibu hiyo,
Celestina Kilemezi, askari Magereza wa Gereza la Musoma ambaye
amejishindia zaidi ya shilingi milioni 128/- za shindano hilo. Ili
kushiriki shindano hili tuma neno Voda kwenda 15544. Afisa
Huduma wa bahati nasibu ya Tusua Mapene na Vodacom, Paulina Biseko
(kulia) na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania PLC, Alex Bitekeye
(katikati) wakimsikiliza Balozi wa Tusua Mapene, Golden Mangula wakati
akiongea na mshindi wa shindano hilo, Celestina Kilemezi, askari
Magereza wa Gereza la Musoma ambaye amejishindia zaidi ya shilingi
milioni 128/- za bahati nasibu hiyo. Ili kushiriki shindano hili tuma
neno Voda kwenda 15544.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...