Home
Unlabelled
miss photo point fotojenik 2006
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Huyo wa pembeni miguu imekomaa kama Luis Figo, huyu ndo alkuwa wanga?? jamani
ReplyDeleteWa pembeni mzuri bwana.
ReplyDeleteWe huoni hiyo shepu ni ya kimodel?
huyo mwenye viguu vyembamba, vilivyokomaa na vyenye matege ni Diana Muhere, ni yule mrembo ambaye Michuzi alidai anaendeleza vipaji bongo... mnyonge mnyongeni haki yake mpeni..figa yake imetulia huyu binti
ReplyDeleteHivi michuzi alitaka kumutokea nini?
ReplyDeleteAISEE KUNA WATU WANA KEJELI! YAANI MSICHANA MZURI NAMNA HIYO UNASEMA ANA MIGUU KAMA LUIS FIGO!!? HEY! MICHUZI VIPI TENA MKONO MFUKONI!!? NYOKA ALISHA VIMBA NINI? SASA UNA SAWAZISHA AU KUBALANCE ILI WATU WASI STUKIE!POLE NDUGU NDIO MATOKEO YA JOTO LA WAREMBO HILO!!,tehe! tehe! tehe!!
ReplyDeletemichuzi aisee nauona mzee ulishadinda ghafla.aah kumamae.watu walisema haudindi ndo maana uwa wanakupeleka kupiga picha za wasichana wa mswati sasa hapo umedhiirisha wewe kidume.tena siku nyingine ukididisha wewe achia mambo hadharani.wengine wamesema hawajahi kukuona na mamsapu wako kwenye picha wewe ni warembo tu..mimi nimewaambia umri bado wa wewe kuoa bwana
ReplyDelete