NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI WAPENDWA,
KWA MARA NYINGINE NAOMBA KUTUMIA NAFASI HII KWA NIABA YA FAMILIA YA MAZARA KATIKA KUTOA SHUKRANI ZETU ZA DHATI KWA USHIRIKIANO WENU MKUBWA MLIO UONYESHA KATIKA HATUA ZA MWISHO ZA KUMUAGA BINTI YETU SHEMSA KENNEDY MAZARA TULIYEMZIKA JUMAMOSI MCHANA YA TAREHE 30/06/07 HUKO DENTON DALLAS(USA).
KWA WALE MLIOFANIKIWA KUFIKA KATIKA MAZISH NA WENGI SANA AMBAO HAMKUWEZA KUFIKA KWA SABABU MOJA AU NYINGINE(IKIWA NI PAMOJA NA SUALA LA UMBALI) NI KWA NGUVU ZAKE MWENYEZI MUNGU, MAOMBI YENU NA PIA UPENDO WENU WA DHATI KWA MAREHEMU NA FAMILIA YAKE NDIYO ULIOWEZESHA SHUGHULI NZIMA KUFANIKIWA KWA KIASI KIKUBWA KIASI HICHO!!!!.
MICHANGO NA USHIRIKIANO WENU WA HALI NA MALI TUTAENDELEA KUIKUMBUKA SIKU ZOTE NA PIA KUWAOMBEA KWA MUNGU ILI AWAZIDISHIE.
Ni Wenu Katika Jina La Bwana.
Parobah Mazara
Poleni na msiba jamani. Nawapongeza kwa uamuzi wenu wa kumzika marehemu huko huko Dallas. Bila shaka mmebana matumizi kwa njia hiyo.
ReplyDeleteKennedy Mazara & Family, our condolences on the passing of your daughter.
ReplyDeleteMungu amweke Shamsa mahali pema peponi.
Jimmy & Lucy
Dar-es-Salaam, Tanzania
Nasi tunaungana na Watanzania wenzetu kutoa rambirambi kwa familia yote ya Mazara kwa msiba wa binti yetu Shamsa.
ReplyDeleteAmani na faraja iwe nanyi nyote.
Judy, Marja & Musuto Chirangi