Home
Unlabelled
mmbademmbade...
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
"Mshikemshike ndege tunduni, sisi wajanja tunakimbiax2" Vipi tena hapa mbona mbio nyingi kulikoni ulikuwa na furushi lako la noti nini!!! Utulivu zero mbona!!
ReplyDeleteDa! hii kweli noma hao askari wa nyumbani mbona wanene hivyo kweli wanaweza kufukuza mwizi hao au kwa sababu wapo airport na tabia yao ya kuwaganda washikaji wanaoshuka.Mkuu wa Polisi haoini hiyo au wakishavaa magandwa inatosha jinenepee nafikili kuna umuhimu wa askari kuwa na mtihani wa fitness kila baada ya muda,tazama wajomba vitambi.Wewe kama umeamua kuvaa gwanda unatakiwa uwe fit. Je masela wakikwapua pesa ya Richard na kuanza kukimbilia kipawa hao wajomba sidhani kama watafukuza parefu.Rushwa wanayokula inaonyesha dhahili.
ReplyDeleteMichuzi mlango usio ndio ...mhhhh hii kali
ReplyDeleteNamuona WBD (world's best dad) anakimbia kiulaini kwa nyuma !
ReplyDelete