Bro Misupu,
pole na mihangaiko pamoja na jitihada za kututumikia sisi Wadau'z kwa moyo mkunjufu tena bila chembe ya Ufisadi kama wao (usiniulize akina nani).
Sasa Bro nitashukuru kama utanisaidia kunipatia jibu mujarabu manake Wanawake wanaotembea na waume za watu huitwa Vimada au Nyumba ndogo. Sasa Bro pamoja na wadau'z, mwanaume anayetembea na mke wa mtu anaitwaje?
Nitashkuru sana nikipatiwa ufumbuzi wa swali langu toka kwa wadau wa blogu ya jamii...
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Kimdau cha Moscow.
P'se Jina na E-mail kapuni kama haitakuwia ngumu!
Very Simple..just weka opposite yake;
ReplyDeleteKIMADA ~ LIMADA
NYUMBA NDOGO ~ NYUMBA KUBWA.
Hope habari ndo hiyo;)
Anaitwa KIWEMBE!
ReplyDeleteanaitwa mchafuzi wa mazingira, hawa ndo wanosababisha global warming.
ReplyDeleteanaitwa FISADI mtoto kama joni mashaka
ReplyDeleteanaitwa sura mbaya
ReplyDeleteMKWARE
ReplyDeleteAnaitwa = MBUZI
ReplyDeleteSimple anaitwa = ATM
ReplyDeletekidume cha mbegu
ReplyDeleteNa wewe kama unatembea na wake za za watu shauri yako unaitwa jeneza.(subiri kuuliwa)
ReplyDeleteKIMADA = KITOM*I
ReplyDeleteNYUMBA NDOGO = BUZI
mme wa kambo
ReplyDeletemalaya
ReplyDeleteSimple, POPO BAWA!
ReplyDeletemende
ReplyDeletewanaume kwa kujisifu! na wewe uliyeuliza swali utachinjwa kwa kuchukua wanawake za watu! subiri mke wako atakapopata ndio utapata jina!lol!
ReplyDeleteAnaitwa FASIDI
ReplyDeletemhuni
ReplyDeleteanaitwa BAZAZI au TOM*ITOM*I
ReplyDeleteau mchovyachovya.AU MHOYERI.au kibor* disa!au kilenga.
NYUMBA NDOGO-MTWALI,bomba mbaya,punda kihongwe aka BUZI.AU MUOSHA kidonda, mfugaji.
Jibu kamili katika biblia anaitwa "MWASHERATI" kama atakuwa ameoa, na kama hajaoa anaitwa"MZINZI"
ReplyDeleteMdau USA
Kimada, hapa nafikiri mwanamme lazima atakuwa ni buzi la vingunguti
ReplyDeleteNyumba ndogo kwa mwanamme ni of course ni ATM, kwani ulikuwa hulijui hilo.
Wanaumme hujidai sana oh ile nyumba ndogo yangu, blah blah lakini wanawake wao husema unaona, ileee ATM yangu inakuja, na kweli ikifika jamaa anaingia mwenye nyumba ndogo anapumzika, akiondoka mamaa anaweka kwenye pochi mshiko wake alioutoa katika ATM, ngoma droo!!!!
Let me break this issue down,
ReplyDeleteAnaitwa baba la uongo,njoka la zamani, kibaka mzoefu, baba la mataifa, bwana la ndoa za watu,upanga ukatao kuwili,baba la uharibifu,baba la wanaume wote,mwehu la wanamama,nyang'au,malaika wa zinaa aliyeshindikana huko juu,mendemende, (kipanga lubala,mfaume wa mashimo,pepo mavi.
Anaitwa mhuni au malaya. Hayo majina mengine ni ya kumpa sifa wakati anachofanya ni umalaya.
ReplyDeletesijawahi ona ivi vituko
ReplyDeletehahahaaa ha ha ha aaaaaa kwi kwi
yooote ayo yake
Anaitwa ENGINEER..Yeye huwa anamrekebisha mwanamke sehemu zile zilizochoka choka, legea legea na kuhitaji KUKAZWA, ili awe sawa ajisikie kuwa ni mwanamke ikiwa yule Mume wake ameshindwa. ENGINEER huyu huwa anakila aina ya spare na OIL.
ReplyDeleteDuh... Ebwanaeeee!
ReplyDeleteAnaitwa Jibwa
ReplyDelete