Home
Unlabelled
wadau wakiwa na nanihii wakiwa nyumba nyeupe leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
miraji nakuona.naona umeenda msalimia uncle.
ReplyDeleteNaona michuzi pamba umezitungua za nguvu na zinakupendeza sana, sijaona fulanazz tangu uje kiwanja! Kwahiyo upo DC sasa hivi au bado LA? Kula maisha ndugu yangu endelea kuvuta hewa safi.
ReplyDeletedah! hii mialiko ya harusi ina kuharibu kaka, kibaraza kina anza kumwagika!
ReplyDeleteuko chumbani hotelini unasema ikulu(white house)...vipi mzee?
ReplyDeleteacheni sifa, hewa safi itakuwa marekani? Au mnaona kila mtu alie Tz hajafika huko, nchi full pollution eti unasema hewa safi! si bora angekuwa hata ameenda visiwa vya maldives ndo tuseme ameenda kula hewa safi! OVYOOOOOOOOOOOOO!!
ReplyDeleteKaka misoup umependeza sana ila utaratibu ukoje uko mbona sisi tuliwaruhusu wandishi wake wote kwenda nyubma nyeupe ya kwetu ila wao kaka kachwa getini hii noma akija tena na sisi tunawazuia kupanda kupanda kuta za ikulu yetu walizichafua.teteteeeeeeeeeeeh
ReplyDeleteKaka michuzi, did you mean White house?, mbona naona kama mmekaa kitandani? au mlifichwa chumbani?
ReplyDeletekaka michu state kuzuri siku nne, tano naona fridge limetoka kumbe huwa kipo au bongo jua linakimeza just jokesssss jamani.
ReplyDeleteMh. Mkuu wa wilaya ya nanihii karibu na huku kwetu OHIO uje upige boksi japo kwa siku mbili tatu, kwani una haraka ya kurudi bongo?? Nitakupa namba yangu ya social ufanyie kazi kwani najua visa uliyopewa ni ya miezi sita.
ReplyDeleteNjoo tumshabikie Ali Kiba ndani ya nyumba week-end hii tuko nae kuanzia ijumaa mpaka ijumaa ijayo.
Naona mkuu wa nanihii unashabikiwa hata kuliko bosi wako
ReplyDeletenyumba nyeupe= hiyo bedroom na ao vijana
ReplyDeleteanyway
Michu vumilia tu ndugu yangu maana "mabaunsa" wengine wakali kweli hata uwaambie nimesahau kadi hawasikii cha mtu, kwahiyo umeishia nje tu! Hata hivyo tunashukuru kwa kutupasha hizo nyepesinyepesi unazoibiaibia,kaza buti!!
ReplyDeleteStaford suruali na shati lako la Ilboru bado unalo, he jamani miaka yote hii bado hujabadilisha nguo zingine, au ndio UGUMU WA MAISHA
ReplyDeleteHebu usitudanganye wewe kaka Michuzi….. jamani mbona hapo ni kama chumbani mpo katika kitanda!!!.
ReplyDeleteUnatufanya maboya sio???
misupuu anza mazoezi maana kifriji kimetoka hasa..
ReplyDeleteHapo wakina michuzi wako kwenye chumba cha Mbwa wa Obama wanasema wako white house!!!TEH TEH TEH
ReplyDeleteaah jamani mbona mpo bedirumu afu mnasema nyumba nyeupe - michu michu tafadhali
ReplyDeleteVakasheni.... nilifikri umekuja kivyako, kumbe naweupo ktk msafara wa rais JK.Mmmmmmmmmm, tutashindwa kukualika kwani lazima ufuate ratiba ya JK. Have fun on your stay though.
ReplyDeletemichuziiii,
ReplyDeleteLibenekezzz sioni ??
viatuzzzz sioni ?
naona Mikonozzzz
Na Fulanazzz
na hao sijui Special Agent au
homeland Security ???
Ila Braza Michu fanyia kazi hicho kifriji, utachukiza sasa hivi ohoooooo!
ReplyDeleteoyaa kaka mımı sına maonı yoyote kuhusu hulı sema nakukumbusha tu balozı mbona umenıbanıa hıle post yangu nılıo kutumıa ya faınalı ya uefa?
ReplyDeletekaka miraji naona unatuwakilisha wazaramu hapo pamoja na wakwele pia hiyo babu kubwa hata hiweje ndiyo imekuwa tuuu...!!!!! H TOWN KAMA KAWA SIYO...BADO UPO JUU
ReplyDeletehii komesha...
ReplyDeletechumba cha white house kama cha prof maji marefu!
kweli tembeaa uone!
Tuache utani na masihara, hiyo pamba ni ya nguvu michu. me naomba tu unitumie fulanaz nikunyang'anye wadau wote wa humu.
ReplyDeleteMTAZAMO WANGU MMEKAA CHUMBANI TENA WANAUME TUPU HII INAMAANISHA NINI? AU NDIO IMEPITISHWA SIRI YENU YETU MACHO.
ReplyDeleteKaka Mkuu
ReplyDeleteImekuwaje tena "pamba" la leo ni lile la kutungua na mti kariakoo?
Limetulia lakini halijapakata vizuri hilo nanihii la "ugali wa siagi",sifikirii kama huko kwa Obama"nanihii"ni mtindo wa heshima ya mkuu.
Endelea na Vakesheeeeni yako mkuu!
mickey@mail-online.dk
Denmark
Kaka Michuzi pitia basi Newyork maana majiko yamenuna. Utuchangamshe tuko baridi kama maji ya freezer. Newyork ya zamani OYEEEE!!!!!! FAGILIAAAA!!!!!
ReplyDeleteMkongwe, mkurugenzi wa SAVANNAH TAX service anakumind umemuacha safari DC...Last time mmlikuwa wote...
ReplyDeleteMtatueleza Midume tupu chumba kimoja mnafanya nini?
ReplyDeleteMichuzi wambie jamaa wakurushie dili moja la Kupiga-BOX kabla hujarudi ununue kasimu kaCamera. Wezako wametoka kupiga BOX hapo.
ReplyDeletehttp://www.flickr.com/photos/whitehouse/3551941309/
ReplyDeletehttp://www.whitehouse.gov/the_press_office/Readout-on-President-Obamas-Meeting-with-President-Kikwete-of-Tanzania/
Habari yako bwana Nanihii
Bila shaka u mzima sana na bado unaendelea vzuri na vekesheni yako.
Nilikuwa natembelea leo hii site ya Whitehouse nikakutana na habari hii,baadaye nikaja kweny blogu yako nikaona kumbe ni kweli kikwete alikuwapo Ikulu leo.
Ila kwa nini hukututonya mapema.
Mdau wa Ujerumani.
P.S:Nanihii naomba email na majina yangu yawe siri yako.
Asante
Again,
ReplyDeleteAm not in America,never have been and probably never will.
Huyo mpumbavu anayejiita "mrekebishaji" namsikitikia sana.Ilibidi aende shule kabla hajaja huko Marekani kupiga box.Over all office,what a shame mrekebishaji??????
Watu kama wewe huku Gezaulole huwa tunawachinjia baharini ili mkanyonywe ulimi na samaki.Pumbaf!!!!!!!
Ndimi Mkulima wa kijijini Gezaulole.
chumba cha hotel, a nice hotel too. na hao vijana ni ma-super star wa washington DC...Dj Luke to the fullest! ila michu ki-fridge kimetokeza ghafla bin vuuu, kulikoni? au ndo mambo ya Buffet za wahindi!
ReplyDeletehuyo kulia mwisho ni ndugu yake kikwete mbona kama wako sawa???????????????????????? Na wewe anno wa hapo juu kuweka email ndo nini unauza au acha ushambaga.
ReplyDelete"Mkongwe, mkurugenzi wa SAVANNAH TAX service anakumind umemuacha safari DC...Last time mmlikuwa wote..."
ReplyDeleteSasa Onesmo Fue wa SAVANNAH TAX service anamind nini. Yeye aende DC kufanya nini wakati kila siku kazi yake kuiponda ccm na serikali.
Kaka Miraji nakuona Mkongwe, Bagamoyo hiyo,Mtoto wa mjini, uko na kaka Kikwete, najua mambo yako powa na juuu. Mwinyi Mpeku.
ReplyDelete