Mkurugenzi Mtendaji wa Clouds Media Group Joseph Kusaga (kulia) akipeana mkono na mgeni rasmi,Katibu tawala wa Mkoa wa Shinyanga Mh. William Nsanzugwanko mara baada ya uzinduzi wa masafa mapya ya Clouds 92.3 FM Shinyanga,uzinduzi huo umefanyika wikiendi hii wakati wa tamasha la fiesta one love 2009 likifanyika katika uwanja wa Kambarage .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. MiNOR CORRECTION: Masafa MAPYA and not Masafa MAYA!! sorry for any inconvenience that might have been caused by this. Thanks
    Michuzi blog volunteer editor!
    UK

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...