Kamwano Sabuni akiwa na marehemu mama yake mzazi enzi za uhai wake
kamwano Sabuni anasikitika kutoa taarifa ya msiba wa mama yake mpendwa Asha Juma Waziri, uliotokea leo saa tisa alfajiri tarehe 13th February 2010 katika hospital ya Hindu Mandal Dar-es-salaam.

Mazishi yatafanyika mkoa wa Tabora na safari itaanza kesho tarehe 14th February 2010 alfajiri na msafara utaanizia sinza kwa mjomba wa Kamwano Sabuni

Kwa mawasilianai zaidi mpigie Kamwano kwenye number hi +255776279327 na mkewe kamwano ambea yuko London anapatikana kwenye no hizi +44 (0) 7960 007521, +44 (0) 7404 266658.

Pia kwa anaetaka kutoa mchango wake au rambi rambi zake tumia bank details zifuatazo,
Bank details Bank Name:- Natwest
Address: 104-110 Fore Street

Upper Edmonton
LondonN18 2XA
United Kingdom


Account Name: Samira S Baamar
Sort code 60-07-32
Account No. 47112999
IBAN: GB62 NWBK 6007 3247 1129 99
BIC: NWBK GB 2L


ORBank Name:- Barclays
Address: 6 Market Square, Waltham Abbey, Essex, EN9 1DN
Account Name:-Samira Baamar
Sort Code:- 20-29-81
Account No. 50978035
IBAN:- GB47 BARC 2029 8150 9780 35
SWIFTBIC:-BARCGB22

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Ina Lillahi wa Ina Illaihi Rajiun.

    (US Blogger)

    ReplyDelete
  2. Mwenyezi mungu amlaze mahali pema, ameen.

    ReplyDelete
  3. K-Sap!! Pole saana kwa msiba mzito ndugu yangu...

    Mola akupe nguvu wangu!

    Mdau

    ReplyDelete
  4. Hi K-sap,
    Pole sana kwa kufiwa na mama yako. My prayers are with you and your family all through this trying time.

    Regards,

    Paul Mbenaa (Mr Paul)

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...