Mgombea Mwenza wa Urais Kupitia tiketi ya CCM, Dk. Mohamed Gharib Bilal, akipokea zawadi ya Mbuzi Rashid Malinzi, mtoto wa Marehemu Rashid Mbakilek, aliyekuwa mmoja kati ya waasisi wa Tano 1955, mara baada ya Dk. Bilal kuzindua shina la wakereketwa katika Kijiji hicho cha Ruzinga-Kanyigo, jana mchana.
Mgombea Mwenza wa urais kupitia tiketi ya CCMm Dk. Mohamed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua Shina la wakereketwa lililojengwa katika Ofisi ya kwanza ya iliykuwa TANU na baadaye CCM iliyoanzishwa 1955i, katika kijiji cha Ruzinga Wilaya ya Misenyi mkoaa wa Kagera, wakati alipofika kijijini hapo jana kufanya mkutano wa kampeni.
ahsante michuzi lakini Ruzinga sio Kanyigo tafadhali hii geografia yako sio ila kanyigo kuzuri sana.
ReplyDeleteahsante michuzi lakini Ruzinga sio Kanyigo tafadhali hii geografia yako sio ila kanyigo kuzuri sana.
ReplyDelete