Home
Unlabelled
mfano wa kuigwa duniani kote
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Masha'Allah mwenyezimungu anasema Binadamu si Macho Si Mikono si Miguu sawa na hujafa hujaumbika Binaadamu ni "Nafsi" kama Nafsi yako nzuri basi utaenda vizuri tu. unaweza ukawa na macho ukafanya mabaya kwa kuyatizama tu bora asiokuwa nayo. Mwenyezimungu atujalie tujue kuhangaika na kujipenda na kupenda wanaadamu wenzetu bila kujali wako vipi rangi gani. MZ
ReplyDeleteNdugu zangu wabongo itufundishe kitu hiyo Video. Wengine tuna mikono, miguu na kila kitu cha kuweza kufanya kazi lakini siku kucha tuko mitaani na vibarazani kubishana habari za Manchester na Chelsea. Maisha kumbe juhudi yako tu.
ReplyDeletewhat an inspiration....
ReplyDeleteALLAH IS GOOD
ReplyDeleteDaaah Uncle michuzi yani hii video imenigusa sana kiasi kwamba imebidi niiweke kwenye Facebook yangu ili wengine waone na wasijisahau...Big Up Mzee wa bwawa la maini...naona mnajisogeza kama kinyonga..
ReplyDeletealivyo dive nkajua ndo kaamua kujimaliza mara kaibuka du jamaa shupavu.
ReplyDelete