Mbunge wa Hai na Mwenyekiti wa CHADEMA na kiongozi wa upinzani Bungeni Mh.Freeman Mbowe akichangia hoja leo katika kujadili hotuba ya Rais Jakaya Kikwete alipozindua bunge la 10 mjini Dodoma
Home
Unlabelled
mh. freeman mbowe akichangia hotuba ya rais bungeni leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Huyu naye anaijadili hotuba ya rais ya uzinduzi wa bunge kwani alikuwepo? Si alitoka nje hakutaka kuisikiliza sasa anajadili nini wakati huo aliona ni upuuzi kukaa kuisikiliza leo ndio imekuwa muhimu anaijadili? Au alikwenda kuisikiliza kwenye luninga? Au ndio ameisoma iliyoandikwa? Mweeh mtatoka nje sana mwaka huu!
ReplyDelete