KWAKO ANKAL,
POLE KWA MAJUKUMU YA KUELIMISHA TAIFA. NAOMBA UNIRUSHIE HILI TANGAZO KTK BLOG YETU YA JAMII.NAUZA GARI AINA YA HARRIER-2000,CC2200,KM 98,320.INATUMIKA KIFAMILIA TU NA NILIAGIZA KUTOKA JAPANI NA NI MMILIKI WA KWANZA HAPA NCHINI TANGU KUAGIZWA NA INA MIEZI 4 TU.BEI YAKE NI TSH M24 MAELEWANO YAPO. NAMBA YA SIMU NI +255715855184.
mbona huja andika kua imegongwa mara ngapi na daladala wee vp
ReplyDeleteAcha Uongo BLP haina Miezi Minne,ina zaidi ya Miezi 6..Bei yako Ipo juu sana
ReplyDeletemuuzaji wa gari tungependa kujuwa mwaka wa hiyo gari na kama utakuwa muuzaji wa kweli basi hapa kuna milioni 8 cash bila usumbufu nijibu hapa kama itawezekana basi nitakupigia simu.
ReplyDeletekama huna cha kuchangia fanya mambo mengine ya msingi, sasa mtu anauliza imegongwa mara ngapi na daladala? kweli wewe una akili timamu, pumbav
ReplyDelete