Baadhi ya wafanyakazi wa kituo cha televisheni cha DTV wakiwa nje ya ofisi baada ya kusitisha matangazo yao kutokana na genereta wanalotumia kuisha mafuta na kushidwa kujua wapi kwa kwenda kuyapata kutokana na vituo vingi vya mafuta kufungwa kutokana na mgomo wa punguzo la bei lililotolewa na Serikali hivi karibuni.
Wapita njia wakiangalia Gari la Kituo cha Televisheni cha DTV likiwa limeegeshwa baada ya kuisha mafuta leo hii.
Fundi akijaribu kutafuta mbinu mbadala ili gari iweze fika sehemu husika.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Hivi hii nchi inaelekea wapi jamani,ikiwa umeme shidaa,mafuta shida na sasa mpaka wafanyabiashara wana jeuri kiasi cha kufanya watakavyo..duh,waheshimiwa wanakula bata as usual.

    ReplyDelete
  2. MMMMmmmmmmmmmmmmmmmmmh! Patamu Hapo!

    ReplyDelete
  3. Akifanikiwa kupata hiyo mbinu mbadala,nadhani atatajirika mara moja!!!!!

    ReplyDelete
  4. Kufungua boneti ya gari ili kutatua tatizo la mafuta, sijui kama kuna ukweli naona gari ina matatizo ya injini sio mafuta.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...