Mara baada ya ajali hiyo dereva alikimbia hajulikani alipo na hivi ndivyo Gari linavyo onekeana kwa mbele
Huwezi amini hii gari imeingiaje hapa kwakweli madereva kuweni makini barabarani pombe ni hatari ukiona umelewa acha kuendesha gari
Baadhi ya wananchi wakiangalia gari iliyotumbukia darajani Mama John, jijini Mbeya
Mwana usalama barabarani akitoa plati namba ya gari lililopata ajali maeneo ya mama john jijini mbeya ajali hiyo imetokea jana usiku baada ya dereva wa gari hilo aina ya toyota corola kuzidiwa kilevi na kukosa mwelekeo na kutumbukia katika dalaja. Picha na Mbeya Yetu Blog
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...