Kiungo wa Simba, Jonas Mkude akimtoka beki wa Asante Kotoko ya Ghana, Frank Boateng katika mchezo wa kirafiki wa Kimataifa wa kuadhimisha miaka 50 ya Uhuru wa Tanganyika uliofanyika Jumapili kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Asante Kotoko imeshinda 1-0. 
 Hatari langoni pa Simba SC
 Kipa wa akiba wa Simba aliyechukua nafasi ya Juma Kaseja akipata matibabu baada ya kuumia na kushindwa kuendelea na mchezo.
Abuu Magube wa Simba akichuana na Michael Anaba wa Asante Kotoko. Picha na Francis Dande

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 5 mpaka sasa

  1. Kuna dalili za seriousness katika kuandaa chipukizi Simba. Safi sana. Angalau kuna watu walikuwa wanamsikiliza Maximo. Miaka 6 ijayo watatesa sana.
    You heard it here first.

    ReplyDelete
  2. Ni Simba gani hiyo, mbona majina hayajulikani ktk club ya Simba?

    ReplyDelete
  3. safi sana kotoko wafundisheni boli hao simba maana boli tanzania sio sehemu yake just tunajilazimisha tu

    tuingilie michezo mingine sio boli

    ReplyDelete
  4. Jamani kwani lazima wavae jezi za Vodacom hata kwenye mechi ya kirafiki? Kwani hiyo ni mechi ya ligi kuu ya Vodacom?

    ReplyDelete
  5. hawana jezi zao sasa wafanyeje na jezi wanategemea za udhamini tu wa voda

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...