1. Katika Globu ya Jamii, hakuna habari ama picha inayowekwa kapuni baada ya kuonekana ukurasa wa kwanza, bali inahamia tu ukurasa wa pili ama wa tatu ama wa nne, na kuendelea, kutokana na wingi wa habari na picha zinazomiminika kwa siku. Kwa kweli habari na picha ni nyingi kiasi kasi yake ni kali kama ya mwanga...
2. Ukitaka kuingia ukurasa unaofuata nenda chini kabisa kulia bofya penye 'Habari Zilizopita' utakuwa umefika ukurasa unaofuata (ambao uliukosa). Fanya hivyo tena na tena kila ukurasa unapofunguka, nawe hutopitwa na kitu kamwe!
Mfano ukitaka habari za Rais andika 'JK' ama 'Kikwete' kwenye hicho kisanduku, utazipata zote mpya na za awali. Au ukitaka habari za 'Ankal' zilizopita andika ANKAL ama MICHUZI hapo utapata habari zake zote....
Vile vile usisahau Libeneke la http://michuzi-matukio.blogspot.com/ ambalo lina picha za kumwaga za matukio kadha wa kadha.
Globu ya Jamii haichagui wala haibagui, kwani atayeizika haimjui. Hivyo ukitaka habari ama picha yako ichapishwe humu tuma tu bila wasiwasi kupitia email address hiyo hapo chini. KUMBUKA...Habari za misiba, kumeremeta, nondozzz, hepi besdei na zozote za kijamii ni BURE! We zilete tu kupitia:
issamichuzi@gmail.com
Libeneke Oye!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...