Maulid Ya Mtume Muhammad (S.A.W) yalifanyika jana kama ilivyotangazwa, yalihudhuriwa na watoto na wakubwa kupelekea kufanikiwa kwa kiasi kikubwa. Wanafunzi wa Madrasatul Amin walionyesha uwezo wao kusoma na kufafanua quran tukufu.Shughulizi ziliongonzwa na Ustadh Abdullah Abubakar Mtawa na Ustadh Khalfan Abdullah. Maulid yalitayarishwa na madrasatul Al Amin jijini Toronto Canada.
Sehemu ya wahudhuriaji kwenye Maulid hiyo
Wanafunzi wa Madrasatul Amin
Waliohudhuria
Vijana na watoto walijitokeza kwa wingi
Wanafunzi wa Madrasatul Amin wakionesha umahiri wao katika kusoma Quran Tukufu
Ustadh Abdullah Abubakar Mtawa akihutubia
Ustadh Khalfan Abdullah akitoa mawaidha maridhawa.
Ma'asha'Allah!ilikuwa ni Maulid kubwa sana na nzuri mno kwa picha.Nafurahi sana kuona watu wa nyumbani bado mnatilia mkazo wa kusheherekea Maulid Nabii!
ReplyDeleteHuku watu wengi,hata waliotoka nyumbani wamefuata mila ya kutosheherekea Maulid ya Mtume wetu Muhammad (S.A.W),eti wanaita ni Bida'a....Bora baada ya kuuliza mimi kwa Masheikh wa nyumbani nikaambiwa kuwa kuna Bida'a nzuri na mbaya,,,Na kweli Bida'a ya kusherekea Mazao ya Kipenzi cha Mwenyezi Mungu,Kipenzi cheti,Mwalimu wetu!Ni bida'a nzuri,,Insha'Allah wenye kumpenda mtume wetu tusheherekee siku hii,mpaka mwisho wetu hapa Duniani!Taqbir,Allahu Aqbar!
Wabillahi Tawfiq
Ahlam ,,,Uk
Kwa niaba ya Madrasatul-Al-Amin napenda kuchukua fursa hii adhimu kukushukuru kaka issa michuzi pamoja na ndugu yetu Esmail kwa juhudi zenu kututangazia Maulid Nabii...Allah Izza islamu Wal-Muslimina. Jazaka Allahu Al-Kheiry.
ReplyDeleteMSWALIENI MTUME,,,,ALLAHU MASWALIA SALIMAAAAAAALEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!
ReplyDelete