Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 28 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 31, 2012

    Hapo lugha sio gongana - Kingereza kilichotumika ni sahihi kabisa

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 31, 2012

    tatizo ni nini hasa?

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 31, 2012

    Naona hapo ni bongo yako mwenyewe gongana...! Iko sawa tu.

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 31, 2012

    Hiyo iko sahihi. Tembelea hapa http://idioms.thefreedictionary.com/Call+again

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 31, 2012

    kumbe ulitaka asemeje?welcome again ndio upate kuelewa.ulishazoea father ukisikia dad unaona du jamaa kachemsha.

    ReplyDelete
  6. AnonymousMay 31, 2012

    Hapa hakuna lugha gongana wala nini. Hiki ni Kiingereza safi kabisa. 'Please call again' tasiri yake ya Kiswahili ni 'Tafadhili njoo tena' au 'Tafadhali tutembelee tena'. Neno 'call', kama yalivyo maneno mengi ya Kiingereza, lina maana nyingi.

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 31, 2012

    Mwake mwake bababaake

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 31, 2012

    Ni sahihi kabisa. Nadhani muuliza swali ameona neno call na akahisi ni kupiga simu au kitu cha namna hiyo lakini neno hilo linaweza kutumika katka kukaribisho wa ujio wa mtu tena, hivyo nadhani lugha hiko sahihi

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 31, 2012

    Haya maneno “Please call again” ni standard British English. Yanatumika sana Uingereza na hata Marekani, yalianza kabla ya kuwa na telephones. “To call” ina maana “to come” again au “to visit” again. It seems that the verb "call" is tricky for some foreigners and for some natives too.

    Utakuta hizi signs madukani, kwenye risiti, kwenye barua za biashara (business letters, ma-Doctor (housecalls) etc... na hata kumkaribisha tena mtu kwenye huduma hiyo inayotolewa kama inavyoonyesha hapo kwenye bango la BP Petrol Station.

    Mifano mingine: to call in on someone is “to make a short visit”, "to pay a visit (courtesy call)",
    to phone again, use the service again, visit again.

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 31, 2012

    Haya maneno “Please call again” ni standard British English. Yanatumika sana Uingereza na hata Marekani, yalianza kabla ya kuwa na telephones.

    “To call” ina maana “to come” again au “to visit” again. It seems that the verb "call" is tricky for some foreigners and for some natives too.

    Utakuta signs hizi madukani, kwenye risiti, kwenye barua za biashara (business letters, ma-Doctor (housecalls) etc... na hata kumkaribisha tena mtu kwenye huduma hiyo inayotolewa kama inavyoonyesha kwenye BANGO hilo la BP - Petrol Station.

    Mifano mingine: to call in on someone is “to make a short visit”, "to pay a visit (courtesy call)", to phone someone, to get the service again, to visit someone again, etc...

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 31, 2012

    SAWIA KABISA HIYO NDIO QUEEN ENGLISH!!

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 31, 2012

    hapo ni lugha gongana maana please call again ni=samahani itatena.....!!!!???mhhh huono hapo ilivyo tofauti na karibu tena

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 31, 2012

    mwake mwake babake hiyo!

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 31, 2012

    Iko mwake hiyo

    ReplyDelete
  15. AnonymousMay 31, 2012

    Nothing wrong with the translation at all, the author of this ad is not guilty, please do some research before trying to belittle and unfairly critisize others.
    Dr Gangwe Bitozi.

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 31, 2012

    Swali kwa aliyetuma taswira.
    Call of nature means;

    A,Kuitwa jina la kiasilia.
    B,Kuvutiwa na mbuga za wanyama na masli asili.
    C,Kwenda kujisaidia.
    Dr Gangwe Bitozi.

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 31, 2012

    Dr G
    Huyu kauliza tu, aulizaye ataka kujua na hakuwa na nia ya ku m bi lito mtu yeyote...
    Sasa keshajua na kuanzia sasa ataacha ile yetu ya kiswahili "welcome again" lol

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 31, 2012

    Dr G
    Huyu kauliza tu, aulizaye ataka kujua na hakuwa na nia ya ku m bi lito mtu yeyote...
    Sasa keshajua na kuanzia sasa ataacha ile yetu ya kiswahili "welcome again" lol

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 31, 2012

    Muulizaji hana haja ya kukashifiwa ni kueleweshwa tu. ndio maana labda wengi wetu tunabaki na ujinga alafu baadae unakuwa pumbavu sababu tutaogopa tukiuliza tunachekwa. LET PEOPLE BE FREE PLEASE

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 31, 2012

    Hapo ni sawa kabisa,hakuna lugha gongana!Mfano, " someone will call for house inspection" ina maana kuna mtu atakuja/atatembelea kwa ajili ya ukaguzi wa nyumba.

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 31, 2012

    Matatizo ya shule za kata hayo.

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 31, 2012

    ok ok tunapenda lugha za wageni ingekuwa kiswahili mgesema matusi.
    hapa iko sawa na kiswahili tufasiri hivivi. ninanyi.(tupo pamoja)(nipo na nyinyi)Hiky is my name.

    ReplyDelete
  23. AnonymousMay 31, 2012

    iyo ni proper english tatizo nn au sababu ya call again hiyo inamaana nyingi hapo sio call ya kupiga sim iyo

    ReplyDelete
  24. AnonymousMay 31, 2012

    hawa wadau sijui wamekwenda shule gani jamani halafu kuna mtu anaitwa Dr hapa kaacha comment zake ni Dr wa nini jamani nahisi si wa kizungu , alivyosema ni sawa kwamba tusi be little and unfairly critics others its true si jambo zuri hili lakin lunga hii walio tafsiri SI SAWA KABISA nendeni zenu mnajidai iko poa wapi kizungu kiko kombo hapo acheni zenu hakuna cha DR Wala nini

    karibu maana yake nini kwa kizungu na call again maanayake nini? wacheni hizo hata kizungu hamkijui mnajaribu kusema ipo sawa wapi

    ReplyDelete
  25. AnonymousMay 31, 2012

    Acheni kuwa wajuzi wa lugha za wengine, kama hayo ya lugha gongan hapo juu.

    Hakuna cha lugha gongana!

    The ship called at Dar es Salaam port...meli ilitua....

    ReplyDelete
  26. AnonymousMay 31, 2012

    Ankal, hapo wewe ndiyo bongo gongana! Bango lipo sahihi kabisa! Kiingereza babaaaaaa

    ReplyDelete
  27. AnonymousJune 01, 2012

    Huwa siache kuangalia maoni michuzi blog. Kwa Tafsiri ya neno kwa neno gongana vinginevyo ni sawa.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...