Afisa kutoka idara ya muungano ya Ofisi ya Makamu wa Rais Bi martha Mashuki, akitoa elimu ya muungano kwa Bw. Mohamed Ngwalima mkurugenzi wa wilaya ya Kilolo Mkoani Iringa katika maonyesho ya wiki ya mazingira kitaifa Mkoani Kilimanjaro, kuelekea maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ambayo kilele chake ni tarehe 5June ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzani Mh Dtk Jakaya Mrisho Kikwete.
Bw. Emmanuel Marija , Mhamasishaji kutoka taasisi isiyo ya serikali inayojishughulisha na masuala ya utunzaji wa mazingira,akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea banda la ofisi ya makamu wa rais katika maonyesho ya wiki ya mazingira kitaifa Mkoani Kilimanjaro, kuelekea maadhimisho ya siku ya mazingira duniani ambayo kilele chake ni tarehe 5June ambapo mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzani Mh Dtk Jakaya Mrisho Kikwete (Picha na Ali Meja wa Ofisi ya makamu wa Rais)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...