Washindi wa tuzo za Excel With Grand Malt kutoka Vyuo vya CBE na UDOM wakiwa katika Picha ya Pamoja na Viongozi wa Vyuo hivyo,Wafanyakazi wa kampuni ya Bia ya Tanzania (TBL) na Mwakilishi kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini huku wakionyesha fedha zao walizoshinda mara baada kukabidhiwa jioni ya leo kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Dodoma.
Mdau Josephat Lukaza ambaye ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma akipokea zawadi yake ya ushindi wa  tatu katika kipendele cha Mazingira kwenye shindano la Excel With Grand Malt kwa vyuo lililokuwa likiendeshwa na kampuni ya bia tanzania kupitia kinywaji chake kisicho na kilevi cha Grand Malt.
Meneja wa Kinywaji cha Grand Malt,Consolata Adam akizungumza wakati wa fainali za Mashindano ya Excel With Grand Malt zilizofanyika jioni ya leo kwenye viwanja vya Chuo Kikuu cha Dodoma.
Mkali wa Muziki wa Bongo Fleva,Joseph Haule a.k.a Prof. Jay wa Mitulinga akiwapagawisha mashabiki wake jioni ya leo mara baada ya kumalizika kwa shughuli ya ugawaji wa vyeti wa washindi wa shindano la Excel With Grand Malt.

kwa picha zaidi 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...