Katika kuadhimisha Siku ya Mwalimu Julius K. Nyerere, Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Afrika Kusini, kushirikiana na Jumuiya ya watanzania waishio Afrika Kusini wanafuraha kuwatangazia watanzania wote waishio Afrika Kusini kuwa kutakuwa na Maadhimisho ya Siku ya Nyerere, Baba wa Taifa, tarehe 13/10/2012 katika mpangilio wa ratiba ufuatao:-
Watanzania wote waishio Afrika Kusini, shime tujumuike pamoja.

 Imetolewa na 
 Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
 04/10/2012

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...