Katika kuadhimisha Siku ya Mwalimu Julius K. Nyerere, Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Afrika Kusini, kushirikiana na Jumuiya ya watanzania waishio Afrika Kusini wanafuraha kuwatangazia watanzania wote waishio Afrika Kusini kuwa kutakuwa na Maadhimisho ya Siku ya Nyerere, Baba wa Taifa, tarehe 13/10/2012 katika mpangilio wa ratiba ufuatao:-
Watanzania wote waishio Afrika Kusini, shime tujumuike pamoja.
Imetolewa na
Ubalozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
04/10/2012
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...