Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya Katiba na
Sheria, katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo katika
Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar ,(kushoto) Makamo wa Kwanza wa
Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Uongozi wa Wizara ya
Katiba na Sheria, katika utekelezaji wa Mpango wa kazi za Wizara hiyo
katika Ukumbi wa Mikutano Ikulu Mjini Zanzibar.(Picha na Ramadhan Othman,IKULU.)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...