Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifurahia jambo wakati wakimsikiliza Mhe. Waziri Membe (hayupo pichani) alipozungumza nao. |
Mhe. Membe akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani). |
Most read Swahili blog on earth
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifurahia jambo wakati wakimsikiliza Mhe. Waziri Membe (hayupo pichani) alipozungumza nao. |
Mhe. Membe akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani). |
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Nilimsikiliza Membe jana kupitia Runinga(TV)moja,alipozungumzia kwamba kila nchi mwanachama wa SADC itaombwa isaidie chochote itakachoweza ili kufanikisha azma ya kurejesha utulivu na amani nchini Congo DRC,hususan katika maeneo ya Goma na North Kivu,na SANA,pale alipotamka wazi bila kubabaika kwamba,sisi Tanzania tutakuwa tayari kupeleka Batallion Moja ya Wanajeshi wetu,ili wakaugane na wenzao kutoka nchi zinginezo,ili kulinda amani,na kuiwezesha Cong DRC ipate muda wa kushughulikia matatizo yake ya maendeleo.That was very good,very inspiring!Tuliweza Afrika Kusini,vipi tushindwe Congo DRC?na wakati ule tulikuwa peke yetu au wachache sana,nchi nyingi zikitoa "lip service to the liberation of southern africa countries",lakini sasa tupo wengi,tuna marafiki wengi,vipi tuiachie Congo DRC itumbukie mikononi mwa Majasusi tena wasioitakia mema Afrika?Lazima tufike mahali,Umoja wa Mataifa tuombe msaada wa zana za "kivita" za ulinzi wa mipaka,na fedha kwa ajili kuendeshea harakati hizo,na wanajeshi wengi zaidi watoke katika nchi za SADC zenye machungu ya kutawaliwa,na zinazo tambua hatari za "nchi kuwa kibaraka",wachache sana waletwe na Umoja wa Mataifa.Congo DRC itatulia tu.Lakini,pia tusisahau kwamba,Congo DRC,ni nchi kubwa sana kiutawala,sawa na Western Europe yote,kwa hiyo,kazi ni kubwa!Lazima utazamwe uwezekano wa kuwepo kwa mfumo wa Utawala utakaowapa madaraka zaidi "wakazi wenyewe wa Kivu na Goma" waendeshe mambo yao wenyewe,lakini wakiwa chini ya Serikali ya Congo DRC(DEMOCRATIC REPUBLIC OF CONGO,DRC)!hongera sana waziri membe kwa msimamo wako!tuko pamoja!ndugu zetu wa malawi wanasema,"Tiende Pamodzi!".Pamoja Tutashinda!Umoja ni Nguvu!
ReplyDelete