Home
Unlabelled
UGANDA MABINGWA CHALENJI,KENYA YA PILI NA ZANZIBAR IMESHIKA NAFASI YA TATU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
well done ZANZIBAR huu mwanzo tuu heshma yetu na ya nchi yetu itarudi tuu kwa uwezo wa M/Mungu. well done and GOD BLESS ZANZIBAR.
ReplyDeleteNchi yenu iko wapi? uko mbali na topic.
ReplyDeleteTuachane na Zaznibar,
ReplyDeleteAnkali kwenye mabishano na majadiliano ya Umoja wa Sarafu anayotoa Ndg. John Mashaka pana Mkenya mmoja anaitwa NAIROBIAN hivyo ni kuwa Matokeo ya CECAFA yanasomeka hivi:
BAO LA MATOKEO BAADA YA FAINALI ZA CECAFA JIJINI KAMPALA-UAGNADA:
NCHI/TIMU MABAO KTK MABANO
1.TANZANIA (10)
Kili Stars
(Mdau wa Bongo No.13 aliyetoa pointi 10 za hoja ktk mabishano dhidi ya Mkenya-Nairobian)
2.KENYA (0)
Harambee Stars
(Nairobiana)
Hivyo Mshindi sio The Cranes Uganda ni Kili Stars kwa Mujibu wa Mabishano na sio Mpira ambapo Mkenya (NAIROBIAN) amepigwa Mabao 10 kwa 0 ktk Mechi ya Fainali!
Mtanzania ametwaa Kombe kwa Ubishi!
Mpinga Muungano anony Sun Dec 09, 01:19:00 AM 2012
ReplyDeletewell done ZANZIBAR huu mwanzo tuu heshima yetu na ya nchi yetu itarudi......and GOD BLESS ZANZIBAR
Kwa taarifa yako Mwenyezi Mungu anachukia utengano unaoutaka wewe kwa kuukataa MUUNGANO!
Mdau wa kwanza wa ZANZIBAR unaota nini?
ReplyDeleteWenzio akina Seif Shariff Hamad, Hamad Rashid na KUNDI LA UAMSHO wanaimarisha Muungano wewe unaukataa?
Mpinga Muungano Mdau wa kwanza Sun Dec 09, 01:19:00 AM 2012
ReplyDelete...Neema za Muungano utaziona pale unapopanda Boti kuja Bara ili kufuata vitu hivi:
1.Konyagi-B (Gongo) wengi Waheishimiwa Visiwani mnakunywa lakini kwa siri lakini mkija Bara mnalewa bila woga kabisa!
2.Miongoni mwenu wapo wanao muenzi Bob Marley na Siasa zake, huko mnavutia vyooni na mashambani kwenye minazi au pwani vichakani lakini Bara mnakaa Maskani mnastarehe!
3.Usiku mnapata starehe kwa madada wa usiku bila woga wa Sheria kali zozote, lakini huko Kisiwani madada wapo lakini wanajificha!
Sasa kwa neema adimu huko Zenji hizo (3) pekee hapo juu utasema Muungano haufai?
Mkataa Muungano wa kwanza Sun Dec 09, 01:19:00 AM 2012
ReplyDelete...Wewe unatakiwa uje Bara ukitokea Zanji halafu ukute mimi Maganga wa Bara nimevaa msuli wangu kiunoni na flana lainiii halafu dada yako ananipikia chai kwa chapati na mchuzi wa samaki ndio utauheshimu Muungano!