Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa timu ya SADC inayosimamia kura ya maoni ya Katiba ya Zimbabwe akiwa kwenye mazungumzo na Rais Robert Mugabe kwenye Ikulu ya Harare, akitoa salamu za Mwenyekiti wa Troika ya SADC, Rais Jakaya Kikwete leo tarehe 15 Machi, 2013. Wananchi wa Zimbabwe wanapiga kura ya kukubali au kukataa Katiba mpya iliyoandaliwa na utatu wa vyama vya siasa nchini mwao kesho tarehe 16 Machi, 2013.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...