Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe, ambaye pia ni Mwenyekiti wa timu ya SADC inayosimamia kura ya maoni ya Katiba ya Zimbabwe akiwa kwenye mazungumzo na Rais Robert Mugabe kwenye Ikulu ya Harare, akitoa salamu za Mwenyekiti wa Troika ya SADC, Rais Jakaya Kikwete leo tarehe 15 Machi, 2013. Wananchi wa Zimbabwe wanapiga kura ya kukubali au kukataa Katiba mpya iliyoandaliwa na utatu wa vyama vya siasa nchini mwao kesho tarehe 16 Machi, 2013.
Home
Unlabelled
SADC yatinga Zimbabwe kusimamia Kura ya Maoni ya Katiba Mpya
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...