Baada ya kimya kingi katika fani ya muziki, nimeamua kuirudia fani yangu na kutoka na miondoko ya kiafrica. Kibao cha kwanza nilichoamua kuanza nacho kinaitwa "Utu uzima dawa" ft Dunga kilichoandikwa na mimi pamoja na Richie Mavoko. Na ku produciwa na Lamar wa fishcrab.
Home
Unlabelled
ujio mpya wa mwana-dada Nakaaya na singo yake ya utu uzima dawa mx.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Atlast you are back, dude la ukweli sana, kaza buti hizi ndio mambo tunapenda kuona kutoka kwako. Big up sana
ReplyDeletebigup nakaaya wimbo mtamu sana wakale walisema kimya kingi kina mshindo mkuu endelea hivyohivyo utarudi kama zamani usijali kaza buti
ReplyDeleteWaw Nakaaya well done. So nice.
ReplyDelete