Mwenyekiti wa Chama cha Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),Dada Pili Mpenda akiwa amevalia joho  na zawadi tele mara baada ya kulamba Nondozz yake ya Diploma on Secretarial Studies katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania tawi la Tabora,ikiwa ni Mahafali ya 14 toka kuanzishwa kwa Chuo hicho.hafla hiyo ilifanyika Mei 4,2013 chuoni hapo
Dada Pili Mpenda (kulia) akiwa na Muhitimu mwenzie mara baada ya kilamba Nondozz zao.
Dada Pili Mpenda (kulia) akiwa na Wahitimu wenzie mara baada ya kilamba Nondozz zao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 05, 2013

    Hongera sana Dada Pili na wenzio hapo kwa kuifikia hatua hiyo, kwakweli mmependeza sana!. Huo usiwe mwisho, endeleeni kupanda ngazi hizi za shule. Napenda sana kukupongeza kwavile najua isivyorahisi kupata nafasi ya kusoma, udhamini na ruhusa ya kwenda shule. Ni lazima Mungu aingilie kati ili vigezo hivi vyote viweze ku-kudhi, mara nyngi si rahisi sana.....Unaweza ukapata nafasi ya kusoma, na ruhusa ya kwenda kusoma lakini ukakosa udhamini au vinginevyo....huwezi kwenda popote.....Lakini kwenu hapo dada zangu "vigezo na masharti yote yaliwapa kuifikia hatima hii, hongereni sana"

    Nadhani mtakumbuka na kuona umuhimu na kwenda kutoa sadaka za shukurani huko mnako mwabudu Mungu wenu aliyewapa neema hii, si ndiyo wajemeni?

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 06, 2013

    Hongera My Wiii!!!!! hapa sasa safari moja huanzisha nyingine, usijibwekete, kaza butiiii!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...