Mrakibu wa Magereza na Mtaalam wa Kilimo wa Jeshi la Magereza, Daimu Mmolosha akiwaeleza Waheshimiwa Majaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania aina mbalimbali za mbegu zinazozalishwa katika Mashamba ya Jeshi la Magereza zikiwemo Mbegu za Mahindi, Maharage na Karanga kama zinavyoonekana katika picha( mwenye Vazi la Pinki) ni Mhe. Jaji. Imani Abooud na wa pili kutoka kulia ni Mhe. Jaji. Ibrahim Mipawa( wa kwanza kulia) ni Mkuu wa Banda la Jeshi la Magereza, Kamishna Msaidizi wa Magereza, Julius Sangu'di( Picha na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).
Home
Unlabelled
MAJAJI WATEMBELEA BANDA LA MAGEREZA SABASABA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...