Hello Kaka Michuzi.Pole sana na kazi mjomba...mimi ni mdau wa hapa MO,ST LOUIS......USA.Naomba unisaidie kupost hii message ubaoni.
I just drove here few days ago from CA.Naomba unisaidie kupost nahitaji kuwajua watanzania wowote waishio ST LOUIS-MO.
Thank you very much
Mdau Collen
NANINI KAKUTUMA HUKO?HUKU KILA MTU KIVYAKE.MDAU HAPA .HAPA ULIPO
ReplyDeleteHabari za kazi Collen, ukifika hapo St Louis Ni contact mimi naitwa Billy email ni billy_dar1122@yahoo.com. Kila la heri.
ReplyDeleteMdau Collee huko St.Louis Missouri bado wana mabaki ya woga wa Utumwa wa Kimarekai wani watu wengi wanaishi kwa kuogopana.
ReplyDeleteUkitaka Wabongo wanao jichanganya nenda DC, ama Houston TX utawapata.
Ama kwa msaada zaidi wasiliana na Ubalozi DC angalau wakuelekeze kama hapo pana Tawi la Chama ukipata wana CCM hapo St. Louis MO wanaweza kukupa mkono!!!
Ingia facebook kama unataka ku chit chat. Ila kama una vitu vya muhimu weka hapa tujadili.
ReplyDeleteMdau- St Louis, MO.