Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Rasilimani nchini (TIB Development Bank),
Peter Noni (wa pili kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa DBSA, Patrick
Dlamini (wa pili kushoto) wakitiliana saini mkataba wa makubaliano ya
ushirikiano wa kiuwekezaji katika sekta ya uchukuzi huku ukishuhudiwa na
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe (wa pili kulia waliosimama)
na Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba (kulia waliosimama). Kushoto
(waliokaa) ni Meneja Mkuu wa Fedha wa DBSA, Bane Makene na Mwanasheria
wa Bodi ya TIB Development Bank, Martha Maeda (kulia).
Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Rasilimani nchini (TIB Development Bank),
Peter Noni (wa pili kulia) na Ofisa Mtendaji Mkuu wa DBSA, Patrick
Dlamini (wa pili kushoto) wakibadilishana nyaraka baada ya kutiliana
saini mkataba wa makubaliano ya
ushirikiano wa kiuwekezaji katika sekta ya uchukuzi nchini. Kushoto ni
Meneja Mkuu wa Fedha wa DBSA, Bane Makene na Mwanasheria wa Bodi ya TIB
Development Bank, Martha Maeda (kulia) Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...