Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akichukua fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho katika ofisi kuu za CUF Wilaya ya Magharibi Kilimahewa Zanzibar. Anayemkabidhi ni Kaimu Katibu wa CUF Wilaya ya Magharibi Ussi Juma Hassan.
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akionyesha fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho katika ofisi kuu za CUF Wilaya ya Magharibi Kilimahewa Zanzibar.
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na waandashi wa habari katika ofisi kuu za CUF Wilaya ya Magharibi Kilimahewa Zanzibar, baada ya kuchukua fomu ya kugombea tena nafasi ya Katibu Mkuu wa Chama hicho (Picha na Salmin Said, OMKR).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 24, 2014

    Vyama vya upinzani demokrasia iko wapi? Au hizi nafasi ni life term.

    ReplyDelete
    Replies
    1. AnonymousMay 24, 2014

      Labda ukisema utaambiwa msaliti,,

      Delete
  2. AnonymousMay 24, 2014

    Hiki Chama cha mtu mmoja tu. Wengine wongo!

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 24, 2014

    Hapo sasa watu wote watafyata mikia yao kwani hakuna atakayethubutu kujitokeza kushindanana na 'maalim'. Na iwapo mtu atafikiria tu kuingia kiringeni dhidi yake huo ndio utakaokuwa mwisho wa uanachama wake kwa CUF, bila Mhe. Hamad Rshid anajua vizuri utamaduni huu!!!!

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 24, 2014

    maneno yako sawia maalim seif tangu 98 mpaka leo miaka 16 yy ni katibu mkuu na tangu 95 mpaka leo ni mgombea urais siasa ya tz inahitaji mabadiliko makubwa na tatizo linalosababisha haya kutokuaminiana

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 24, 2014

    Tumesahau MWALIMU alikuwa Raisi miaka mingapi au vibaya kwa MAALIM tuu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...