Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando (kulia)  na Meneja masoko wa Airtel Tanzania, Bi. Aneth Muga (kushoto) wakiwa kwenye picha ya pamoja na washiriki wa Airtel Trace Music Stars leo mara baada ya washiriki hao kuongea na waandishi wa habari kwaajili ya kuomba wananchi kuwapigia kura.
Meneja uhusiano wa Airtel Tanzania,Jackson Mmbando akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati alipotangaza washiriki waliongia nafasi ya kumi bora katika mashindano ya Airtel Trace Music Stars kwa wiki hii. Kulia ni Aneth Muga Meneja Masoko wa Airtel Tanzania anaesimamia mashindano hayo ya Airte Trace Music Stars. Hafla ya kutangaza washiriki hao wa 10 bora aimefanyika makao makuu ya Airtel jijini dar es salaam leo.
Meneja Masoko wa Airtel Tanzania,Bi. Aneth Muga akielezea jinsi ya kupiga KURA kwa washiriki waliofanikiwa kuingia 10 bora ya mashindano ya Airte Trace Music Stars. Kulia ni meneja uhusiano wa Airtel Jackson Mmbando katika hafla ya kuwatangaza washiriki hao iliyofanyika ofisi za Airtel makao makuu morocco Dar es salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...