Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana
na Muasisi wa Chama cha ASP na muanzilishi wa Chama cha Mapinduzi Mzee Kombo wakati alipokwenda
nyumbani kwake Miembeni kumjulia hali.
Muasisi wa Chama cha ASP na muanzilishi wa Chama cha Mapinduzi Mzee Kombo akimpatia maelezo
Balozi Seif juu ya maendeleo ya Afya yake iliyopata mtihani wa maradhi hivi
karibuni.
Picha na
–OMPR – ZNZ.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...