Studio party ulikuwa mjumuiko ulioleta furaha kwa wengi kama inavyoonekana katika kiwanja cha Maisha Club
Baadhi ya mayanki waliohudhuria Coke Studio party wakiwa kwenye picha ya pamoja kwenye ukumbi wa Maisha Club jijini Dar es Salaam.
Ilikuwa ni burudani kubwa vijana wakicheza muziki kwa furaha ndani ya Maisha Club
Vijana wakishiriki kuimba Coke Studio Party mkoani Mwanza
Zawadi mbalimbali zilitolewa katika party ya Mwanza kama anavyoonekana Masai akijichukulia zawadi katika party ya Mwanza.
DJ akinogesha mambo ya Coke Studio mjini Mwanza
Ma Dj walikuwa wakifanya mambo kuhakikisha mambo yanakuwa mazuri
Watu wa rika mbalimbali walifika CokeStudio party kupata burudani kama wanavyoonekana baadhi yao pichani mjini mwanza.
Mamia waburudika na Coke-party ya kukata
na shoka
Onyesho la muziki la Coke Studio ambalo
linajumuisha Kolabo ya wanamuziki wa kitanzania kwa kushirikiana na wanamuziki
wa Nje ya nchi limeanza kurushwa nchini kila Jumamosi kupitia Luninga ya
Clouds ikiwajumuisha wanamuziki mahiri Ally Kiba,Vanessa Mdee,Ben Pol na Fid Q
ambao wanashirikiana na wanamuziki Wangechi,Maurice Kirya,Victoria Kimani na
2Face.
Baada ya uzinduzi huo zilifanyika party za
kufa mtu katika viwanja vya maraha katika mikoa mbalimbali nchini ikiwemo mikoa
ya Dar es Salaam,Mwanza,Mbeya na Arusha zilizowajumuisha vijana kucheza
muziki,kuimba na kujishindia zawadi mbalimbali za Coca Cola
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...