Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mbeya mjini
kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaombea kura wagombea wa
nafasi za Urais , Ubunge na Udiwani.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mbeya mjini ambapo aliwaambia Magufuli ni mchapakazi na yupo tayari kuleta mabadiliko ya kimaendeleo Tanzania.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mbeya mjini ambapo aliwataka vijana kutohadaika na kudanganywa juu ya mabadiliko yanayodaiwa na upinzani na kusema kuwa hakuna njia ya mkato katika maisha ila ni kufanya kazi kwa bidii,aliwataka kuchagua viongozi kwa sifa za utendaji na si kwa misingi ya dini, ukabila ama rangi.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mbeya mjini ambapo aliwaambia Magufuli ni mchapakazi na yupo tayari kuleta mabadiliko ya kimaendeleo Tanzania.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa Mbeya mjini ambapo aliwataka vijana kutohadaika na kudanganywa juu ya mabadiliko yanayodaiwa na upinzani na kusema kuwa hakuna njia ya mkato katika maisha ila ni kufanya kazi kwa bidii,aliwataka kuchagua viongozi kwa sifa za utendaji na si kwa misingi ya dini, ukabila ama rangi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...