SIMU.TV:  Serikali kumaliza tatizo la maji Makunduchi, TRA yanasa makontena uchochoroni. Ukitupa taka Dar faini 50,000/ SIMU.TV:  Rais Magufuli ajadiliwa kila kona ya dunia, asaka vinara ufisadi wa mabilioni. David Kafulila aruka kihunzi Mahakama Kuu;  https://youtu.be/H6iRutZCTIE
SIMU.TV:  Bosi TRA atajwa ufisadi mabilioni. Presha juu wafanyakazi 13,000 mashirika manne.Wakazi Buguruni hatarini kukumbwa na mafuriko; https://youtu.be/Z5zG9Q970uU 
SIMU.TV:   AZAM, Simba zauziana Majwega kiaina. Coutinho aipasua kichwa Yanga. Kamusoko afanya mambo ya Messi; https://youtu.be/ZWen_Bemf1k 
SIMU.TV:  Mrema asema hajutii kumnadi Magufuli. Kampuni ya EGMA kufanyiwa uchunguzi wa ndani.Serikali ya Tanzania kurejeshewa dola Milioni 7; https://youtu.be/jtexKsLhSRs

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...