Mbunge wa jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi akikabidhi msaada wa mabati katika shule ya awali ya Kisirui kata ya Rangwi jimbo la Mlalo mkoani Tanga.
Mbunge wa jimbo la Mlalo, Rashid Shangazi akizungumza na wakazi wa Kisirui kata ya Rangwi jimbo la Mlalo mkoani Tanga, mwishoni wa wiki alipotoa msaada wa Mabati katika shule ya awali Mkunki mwishoni mwa wiki.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...