Waziri mkuu Mhe. Kassim Majaliwa akimsikiliza Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE Bw. Edwin Rutageruka wakati alipotembelea mabanda la maonesho kabla ya kufungua Mkutano Mkuu Maalum wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Tawala za Mitaa (ALAT) katika kituo cha Mikutano cha Dodoma Aprili 8, 2016.
Wasanii wa kikundi cha Nyota cha Dodoma wakitumbuiza katika Mkutano Mkuu Malum wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa kwenye Kituo cha Mikutano cha Dodoma mjini Dodoma Aprili 8,2016.
Baadhi ya washiriki wa Mkutano Mkuu Maalum wa Uchaguzi wa Jumuiya ya Tawala za Mikoa (ALAT) wakimsikiliza Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa wakati alipofungua Mkutano huo kwenye Kituo cha Mikutano cha Dodoma Aprili 8, 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...