Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens (wa pili kushoto), akikabidhi cheti mmoja wa watengeneza matofali 200, Hoit Macha baada ya kumalizika kwa mafunzo juu ya utengezeji bora wa matofali yaliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mhandisi wa Mafunzo, Emmanuel Owoyo na Meneja Afya na Usalama, Jerome Mwakabaga.
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens (wa pili kushoto), akikabidhi cheti mmoja wa watengeneza matofali 200, Mohamed Ali, baada ya kumalizika kwa mafunzo juu ya utengezeji bora wa matofali yaliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mhandisi wa Mafunzo, Emmanuel Owoyo na Meneja Afya na Usalama, Jerome Mwakabaga.
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens (kulia), akizungumza katika semina waliyowaandalia watengeza matofali kuhusu ubora wa matofali na usalama mahali pa kazi. Zaidi ya watengeza matofali 200 walihudhuria jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Meneja Masoko wa Twiga Cement, Martha Haule (kushoto), akizungumza wakati wa semina hiyo jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa semina hiyo wakipiga picha ya kumbukumbu pamoja na maofisa wa kampuni ya Twiga Cement.
Tengenezeni matofali halafu muhamasishe nyumba bora ili tuondoe nyumba duni nchini.
ReplyDelete