Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens (wa pili kushoto), akikabidhi cheti mmoja wa watengeneza matofali 200, Hoit Macha baada ya kumalizika kwa mafunzo juu ya utengezeji bora wa matofali yaliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mhandisi wa Mafunzo, Emmanuel Owoyo na Meneja Afya na Usalama, Jerome Mwakabaga.
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens (wa pili kushoto), akikabidhi cheti mmoja wa watengeneza matofali 200, Mohamed Ali, baada ya kumalizika kwa mafunzo juu ya utengezeji bora wa matofali yaliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Kushoto ni Mhandisi wa Mafunzo, Emmanuel Owoyo na Meneja Afya na Usalama, Jerome Mwakabaga.
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Saruji ya Twiga (TPCC), Simon Delens (kulia), akizungumza katika semina waliyowaandalia watengeza matofali kuhusu ubora wa matofali na usalama mahali pa kazi. Zaidi ya watengeza matofali 200 walihudhuria jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.
Meneja Masoko wa Twiga Cement, Martha Haule (kushoto), akizungumza wakati wa semina hiyo jijini Dar es Salaam.
Washiriki wa semina hiyo wakipiga picha ya kumbukumbu pamoja na maofisa wa kampuni ya Twiga Cement.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 17, 2016

    Tengenezeni matofali halafu muhamasishe nyumba bora ili tuondoe nyumba duni nchini.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...