Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Tabora, Hawa Mwaifunga (wa tatu kulia) akizumuka pamoja na Wakina Mama wa Mkoa huo, wakati hafla ya Uzinduzi wa mradi wa mafuta ya Alizeti kwa kikundi cha Wakinamama kiitwacho Wema Group, uliofanyika katika kata ya Malolo Mkoani humo.
Sehemu ya Wanachama wa Kikundi hicho cha Wema Group, wakimsikiliza Mbunge wa viti maalum mkoa wa Tabora, Hawa Mwaifunga (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao.
wa viti maalum mkoa wa Tabora, Hawa Mwaifunga akijadiliana jambo na Mmoja wa Wajumbe wa Chama hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...