Mbunge wa Viti maalum mkoa wa Tabora, Hawa Mwaifunga (wa tatu kulia) akizumuka pamoja na Wakina Mama wa Mkoa huo, wakati hafla ya Uzinduzi wa mradi wa mafuta ya Alizeti kwa kikundi cha Wakinamama kiitwacho Wema Group, uliofanyika katika kata ya Malolo Mkoani humo.
Sehemu ya Wanachama wa Kikundi hicho cha Wema Group, wakimsikiliza Mbunge wa viti maalum mkoa wa Tabora, Hawa Mwaifunga (hayupo pichani) alipokuwa akizungumza nao.
wa viti maalum mkoa wa Tabora, Hawa Mwaifunga akijadiliana jambo na Mmoja wa Wajumbe wa Chama hicho.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...