Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI), George Simbachawene akipokea vipeperushi kutoka kwa Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Uhamasishaji wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde Msika mara baada kupata Maelezo ya shughuli mbalimbali zinazofanywa na Mamlaka hiyo, wakati akikagua baadhi mabanda ya Maonesho ya Kilimo (Nane Nane) Kitaifa Kanda ya Kusini Lindi na Mtwara.
Picha ya pamoja kati ya watumishi wa SSRA na Baadhi ya wadau waliotembelea Banda hilo ikiwemo wakulima waliotembea kujifunza jinsi Mifuko ya Jamii inavyojiendesha chini ya usimamizi wa Mamlaka hiyo.
Mmoja wa Wanachama wa Mifuko ya Jamii ambae alijitambulisha kama Mstaafu Mtarajiwa akipokea vipeperushi vya Mamlaka hiyo oka kwa Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Uhamasishaji wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde Msika.
Afisa Uhusiano na Uhamasishaji SSRA, Ally Masaninga akikabidhi zawadi kwa Bi. Saida, Afisa Vijana Mkoa wa Lindi alietembelea Banda la Mamlaka Hiyo katika Viwanja Vya Ngongo Lindi Manispaa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...