Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba akiongea na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Bi. Katarina Rangnitt. Balozi huyo aliambatana na Kamati ya Mazingira na Kilimo ya   Bunge la Sweden.
 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) January Makamba (Kulia) akifurahia jambo na mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Mazingira na Kilimo kutoka  Sweden walipomtembelea Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli Jjijni Dar es Salaam leo.
Sehemu ya wabunge kutoka Sweden wakifuatilia mazungumzo baina ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) January Makamba. Ujumbe huo wa Wabunge ulimtembelea Mh. Waziri na kujadili masuala ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...