Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba akiongea na Balozi wa Sweden Nchini Tanzania Bi. Katarina Rangnitt. Balozi huyo aliambatana na Kamati ya Mazingira na Kilimo ya Bunge la Sweden.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) January Makamba (Kulia) akifurahia jambo na mmoja wa wajumbe wa Kamati ya Mazingira na Kilimo kutoka Sweden walipomtembelea Ofisini kwake Mtaa wa Luthuli Jjijni Dar es Salaam leo.
Sehemu ya wabunge kutoka Sweden wakifuatilia mazungumzo baina ya Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) January Makamba. Ujumbe huo wa Wabunge ulimtembelea Mh. Waziri na kujadili masuala ya Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...